RPC Manyara atembelea Ofisi za Radio Habari Njema
Furahia matukio katika picha ambapo leo Tarehe 6 -04-2019,Kamanda wa polisi mkoa wa Manyara Augustino Senga amefika Redio Habari Njema…
Ujumbe wa Papa Francis: Mungu anawapenda , Kanisa linawahitaji
Kristo ni hai na anataka uwe hai! “Mstari wa ufunguzi wa Ushauri wa Mitume uliweka sauti na maudhui ya ujumbe…
Serikali Kuendelea Kuimarisha Upatikanaji Wa Maji Safi Na Salama Nchini
Serikali imedhamiria kuimarisha upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi waishio mijini kufikia asilimia 95 na vijijini asilimia 85…
Onyo kwa Wakurugenzi latolewa na Rais Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amewaonya Wakurugenzi ambao watanaoesha nia kudai ushuru kufuatia uamuzi…
Uchaguzi ARUMERU Kwa Joshua Nassari
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema uchaguzi mdogo katika jimbo la Arumeru Mashariki ni Mei 19, 2019. Mwenyekiti wa…
FURSA: Wahitimu wa kidato cha nne mwaka 2018 ruksa kubadilisha(Combination)
Wahitimu wa kidato cha nne mwaka 2018 ruksa kubadilisha(Combination): Imewekwa Tar.: March 29th, 2019 Serikali imetoa fursa kwa wanafunzi waliofaulu…
Walimu wa Moi Girls wafanyiwa uchunguzi wa DNA Kenya katika kesi ya ubakaji wa mwanafunzi
Image captionMaandamano yamefanyika mjini Nairobi siku ya Jumatatu kulalamika kuhusu tuhuma za ubakaji katika shule ya Moi Girls Nairobi Walimu…
Mbunge Chadema Airushia Tuhuma Nzito Wizara ya Fedha
Mbunge wa Momba (Chadema), David Salinde amesema Wizara ya Fedha na Mipango ndio adui namba moja wa maendeleo ya Taifa…
Spika Ndugai Aionya Serikali….Atishia Kuzuia Mkutano wa Bunge Mwezi Oktoba
Spika wa Bunge, Job Ndugai, ameitaka serikali kuhakikisha inatekeleza agizo lake la mwishoni mwa mwaka jana kuhusu kuwasilisha bungeni muswada…
Mapacha walioungana kuzikwa kaburi moja
Marehemu mapacha Maria na Consolata Mwakikuti (20) waliofariki dunia mwishoni mwa wiki iliyopita mjini hapa watazikwa katika kaburi moja kesho.…